1. Tafuta kiwanja cha gharama nafuu
2. Jenga nyumba yenye ukubwa wa wastani.
3. Tumia nafasi ya eneo la nyumba yako kwa uangalifu.
4. Ni vyema kujenga nyumba yenye ramani ya umbo la
mraba au mstatiri.
5. Anza ujenzi wako kwa kufanya mpangilio mzuri wa mradi
wako wa ujenzi, maana wanasema kufeli kupanga ni kupanga kufeli.
6.Tengeneza ramani yenye muonekano mzuri na rahisi kujenga, epuka ramani tata na ngumu.
7. Hakikisha unampata fundi mzuri na mzoefu kwa aina ya nyumba unayotaka kujenga.
8.Ni vyema kutumia vifaa na "material" ya ujenzi yaliyo karibu na eneo lako la ujenzi.
9.Fuatilia kwa ukaribu gharama za ujenzi katika kila hatua
ya ujenzi.
10.Kumbuka si wakati wote uchague vitu vya bei rahisi, zingatia ubora kwanza.
Comments
Post a Comment